Ni Picha tu tunaweka hapa, maneno tuliyasikia sote pale GCC.
Psalms 7:17 Nitamshukuru Bwana kwa kadiri ya haki yake; Nitaliimbia jina la Bwana aliye juu.
Psalms 9:1 Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu wote; Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;
Psalms 18:49 Basi, Bwana, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.
Psalms 28:7 Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu. Moyo wangu umemtumaini, Nami nimesaidiwa; Basi, moyo wangu unashangilia, Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.
Psalms 30:12 Ili utukufu wangu ukusifu, Wala usinyamaze. Ee Bwana, Mungu wangu, Nitakushukuru milele.
Psalms 35:18 Nitakushukuru katika kusanyiko kubwa; Nitakusifu kati ya watu wengi.
|
Dogo akitoa neno la Shukrani kwa Bwana Yesu |