Zawadi ya Tsh 500 toka kwa katibu kwa atakayebunia na kuweka jibu hapa chini
Tazama kwa makini picha hii kisha jibu swali hapo chini
Hapa ni wapi alipo huyu kijana? Mtu wa kwanza kujibu na kuweka maoni yake chini kwenye nafasi ya maoni basi atakuwa amejinyakulia Tsh 500 hela halali kwa malipo ya kiasi hicho. Utatangazwa mshindi hapa hapa kwenye blog yetu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni