April 19, 2015
Zile Biblia tano za kiswahili alizozitoa Mzee Kyejo, ziliwekwa wakfu na kugawiwa kama ilivyopangwa na hata hivyo Mkurugenzi wa Compassion naye alituongezea Biblia 2 za Kingereza kwani kulikuwa na uhitaji
Biblia ndio hizo hapo mezani na Mchungaji anatafakari namna ya kuziweka wakfu ili zikamjenge atakayepokea
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni