Mama Neema Kiroya amechaguliwa ila hayuko pichani
Uongozi wa zamani ukajiuzulu
Wasimamizi wa kuraWazee wa kanisa wakifanya kazi yao
Wazee Wa Kanisa wakihesabu kura
Uongozi ukatambulishwa ila Mrs Kiroya hakwepo
Mrs Anney akachaguliwa kuwa Mwenyekiti,
Mrs Kiroya akawa Makamu,
Mrs Mawanja akawa Katibu,
Mrs Justine akawa Naibu Katibu,
Mrs Jonathan akawa Mhazini na
Mrs Kilonzo akawa Naibu Mhazini
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni