Siku zote daraja hili lipo
Magari huwa yanapita
Daraja lilikuwa la kuanguka lakini kwanini litegee wakati gari limefika?
Watu saba walikwepo ndani ya gari hili na wote wamefariki.
Somo ni lipi tunalipata hapa?
Fungua mahali imeandikwa 'Tunalindwa kwa nguvu za Mungu kwa njia ya imani hata......'
Weka mstari huo sehemu ya maoni hapa chini
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni