Jumatano, 22 Aprili 2015

Familia ya Mchungaji Kiongozi ikatoa Shukrani April 19, 2015

Ni Picha tu tunaweka hapa, maneno tuliyasikia sote pale GCC.

Psalms 7:17 Nitamshukuru Bwana kwa kadiri ya haki yake; Nitaliimbia jina la Bwana aliye juu.

Psalms 9:1 Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu wote; Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;

Psalms 18:49 Basi, Bwana, nitakushukuru kati ya mataifa, Nami nitaliimbia jina lako.

Psalms 28:7 Bwana ni nguvu zangu na ngao yangu. Moyo wangu umemtumaini, Nami nimesaidiwa; Basi, moyo wangu unashangilia, Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.

Psalms 30:12 Ili utukufu wangu ukusifu, Wala usinyamaze. Ee Bwana, Mungu wangu, Nitakushukuru milele.

Psalms 35:18 Nitakushukuru katika kusanyiko kubwa; Nitakusifu kati ya watu wengi.




Dogo akitoa neno la Shukrani kwa Bwana Yesu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni