Kundi la viongozi wakijadili mambo ya kufanyia maamuzi
Kundi lingine likijadili baadhi ya mambo ya kuamua baada ya semina hii
Mgawanyo wa makundi
Darasa likaanza
Viongozi wakimsikiliza mwalimu
Mwalimu akiwasilisha mada
Mwaswali na maazimio:
1. Kikao kikiitishwa na huji, unakuwa umeamuaje?
Ni kusema mimi ni mzembe, sijali, sitilii maanani wala haina umuhimu hicho kikao
2. Kutokutafuta walau mrejesho wa kikao, ina maana gani kwako?
Haina umuhimu kwahiyo sitafuti mrejesho
3. Unadhani udhaifu wa
kiongozi wa kiroho unaambatana na ulegevu kiroho?
Huenda sambamba
4. Kuongoza kulalamika wakati
huwajibiki katika nafasi yako ni kusemaje?
Kiongozi huyu anakuwa na mgomo moyoni na tatizo lake ni sugu
5. Kutoshiriki semina yoyote, ina
tafsiri ipi?
Kujitosheleza yenye ashirio la kupoa kiroho
6. Kama watu hawatoshi kukuelekekeza, nani hatimaye unadhani atafaa
kusema nawe?
Ulimwengu siku moja utamfunza kiongozi wa aina hii
7. Ili ukubaliane na jambo, ni kwa njia ipi nzuri uambiwe?
Kwa kuwa kiongozi huyu ana tatizo la kuvamiwa kiroho, ashauriwe na kuombewa
8. Unadhani
kuchaguliwa na watu kuwa kiongozi ina muunganiko wowote na kupewa nafasi ya
kuongoza na Mungu?
Ndiyo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni